Wafanya biashara ya samaki katika eneo la Maisara Kizingo wakitowa maelekezo ya wateja wao wapi wako baada ya kukubali amri ya manispa ya Zanzibar kuondoka eneo hilo ambalo haliruhusiwi kufanya biashara kutokana na kuweka mazingira mazuri eneo hilo.
Airtel Yazindua Teknolojia ya Airtel VoLTE Kwa Mawasiliano ya Kisasa BILA
CHENGA
-
· Airtel yaja na Airtel VoLTE, wateja sasa kuperuzi na kuongea LIVE BILA
CHENGA
Dar es Salaam, December 17, 2025,
KAMPUNI ya Airtel Tanzania leo imezin...
5 hours ago
1 Comments
he he he..Zanzinews kiboko ya stress bwana wee...Hongera Mapara hilo bango limenichekesha kweli kweli ni comedy ya aina, hata mimi nikilisoma linaniacha hoi sijui mtalii akitafsiriwa litamchanganya kinoma.
ReplyDelete