WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Dkt. Mwinyihaji Makame akimkabidhi seti ya Computer iliotolewa ahadi na Rais Mstaafu wa Awamu ya Sita Dkt. Amani Abeid Karume wakati alipokuwa Madarakani kwa ajili ya Skuli ya Sekondari ya Kengeja Pemba, apokea Computer hiyo Mwakilishi wa Mtambile Mohammed Haji Khalid,(kushoto) makabidhiano hayo yamefanyika katika viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani
DKT. MAULID ASISITIZA ITIFAKI NA TABIA NJEMA KWA VIONGOZI WA ELIMU
-
Mkutano Mkuu wa 12 wa Umoja wa Maafisa Elimu wa Mikoa na Halmashauri
Tanzania Bara (REDEOA) umeendelea kufanyika jijini Arusha kwa siku saba
tangu ulipofun...
1 hour ago
3 Comments
Naona kama kawaida.. 'kijiji' cha viongozi kiko Pemba kugawa computer...sijui nani anagharamia safari, malazi na posho zao wakiwa huko?...this is Z'bar..the spice Islands!!!
ReplyDeleteYaaani hivi huyu waziri na wakilishi kukusanyika woote kisa kutoa cumputer moja!!! na mapicha kupiga '' mmhh kazi ipo SMZ
ReplyDeleteNi aibu karine 21,ndio kwanza tuna kabizi seti1 ya kompuyuta ndani ya skuli ya sc, viongozi kundi zima?
ReplyDelete