Wanafunzi wa Jimbo la Bububu wakiwa katika harakati za kupanda basi lao la Wanafunzi lililotolewa na Mwakilishi wao Husein Ibrahim Bhaa, Basi hilo limekuwa mkumbozi wa usafi wakati wa kwenda na kurudi skuli, na kupunguza adha za usafiri waliokuwa wakipata wakati wa kurudi majumbani.
Sekela Apongeza Uongozi wa Rais Samia Katika Kuinua Wanawake
-
Na Pamela mollel,Arusha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepongezwa
kwa juhudi zake za kuhamasisha wanawake kushiriki kikamil...
51 minutes ago
1 Comments
Nampongeza muheshimiwa, tunahitaji wawakilishi kama huyu, nawapa challenge wengine kama kweli ni watetezi wa watu wao
ReplyDelete