Wananchi wakiwa katikaharakati za maandalizi ya watoto wao kwa ajili ya sikukuu wakiwa katika maduka ya nguo na viati 
Mambo ya Marikiti hayo ya maandalizi ya futari katika kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa ramadhani marikiti ya darajani pirika zimekuwa nyingi katika marikiti hiyo kwa wananchi kufuata mahitaji
Serikali Yatajivunia Mafanikio ya Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam
Katika Siku 100 za Uongozi wa Rais Samia
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
MSEMAJI wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Gerson Msigwa, amesema Serikali ya Awam...
8 hours ago
0 Comments