Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza katika ufunguzi wa tamasha la 16 la ZIFF katika ukumbi wa Ngome kongwe
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza katika ufunguzi wa tamasha la 16 la ZIFF katika ukumbi wa Ngome kongwe.
Wasanii wa kikundi cha taarab cha wanawake Zanzibar TAUSI WOMEN GROUB wakitoa burdani wakati wa ufunguzi wa tamasha la 16 la ZIFF lililofanyika Ngome Kongwe Zanzibar
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na watendaji wa Ethiopean Airline ambao ni miongoni mwa wafadhili wa tamasha la 16 la ZIFF.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa ZIFF katika ufunguzi wa tamasha la 16 la ZIFF.
(Picha na Salmin Said, OMKR).
DKT. MAULID ASISITIZA ITIFAKI NA TABIA NJEMA KWA VIONGOZI WA ELIMU
-
Mkutano Mkuu wa 12 wa Umoja wa Maafisa Elimu wa Mikoa na Halmashauri
Tanzania Bara (REDEOA) umeendelea kufanyika jijini Arusha kwa siku saba
tangu ulipofun...
6 hours ago
0 Comments