Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza katika ufunguzi wa tamasha la 16 la ZIFF katika ukumbi wa Ngome kongwe
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza katika ufunguzi wa tamasha la 16 la ZIFF katika ukumbi wa Ngome kongwe.
Wasanii wa kikundi cha taarab cha wanawake Zanzibar TAUSI WOMEN GROUB wakitoa burdani wakati wa ufunguzi wa tamasha la 16 la ZIFF lililofanyika Ngome Kongwe Zanzibar
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na watendaji wa Ethiopean Airline ambao ni miongoni mwa wafadhili wa tamasha la 16 la ZIFF.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa ZIFF katika ufunguzi wa tamasha la 16 la ZIFF.
(Picha na Salmin Said, OMKR).
SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA USHIRIKIANO BAINA YA VYUO VYA ELIMU YA
JUU,TAASISI ZA UTAFITI KATIKA USIMAMIZI WA MAAFA NCHINI
-
Na Mwandishi Wetu Morogoro
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye
Ulemavu, kupitia Idara ya Menejimenti ya Maafa, imefanya ...
2 hours ago
0 Comments