Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea maduka mbali mbali ya nguo na viatu katika maeneo ya Mlandege, Mchangani na Darajani Zanzibar jana usiku, kuangalia hali ya upatikanaji wa bidhaa hizo katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu ya Eid- El-Fitri. (Picha zote na Salmin Said, OMKR).
Mradi wa CERA kutafiti mbegu za Mpunga unaohimili Mabadiliko ya tabianchi
Afrika.
-
Na: Calvin Gwabara – Morogoro.
Wakulima wa kilimo cha mpunga kinachotegemea mvua nchini wamewashukuru
watafiti wa Mradi wa Mpunga Himilivu kwa Mabadilik...
1 hour ago
0 Comments