Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akitembelea maduka mbali mbali ya nguo na viatu katika maeneo ya Mlandege, Mchangani na Darajani Zanzibar jana usiku, kuangalia hali ya upatikanaji wa bidhaa hizo katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu ya Eid- El-Fitri. (Picha zote na Salmin Said, OMKR).
Tume ya Uchunguzi yakutana na Balozi Possi, Nyamanga
-
TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na
baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imeendelea na vikao vyake leo
Febru...
31 minutes ago
0 Comments