WAISLAMU wa kijiji
cha Kambini kichokochwe wilaya ya Wete Pemba, wakiwa kwenye usafi wa msikiti
wao mpya, mara baada ya kumaliza sala ya Ijumaa wikia iliopita, ambapo wanaomba
misaada ya hali na mali, ili wamalizie hatua ya awali na waanze kuutumia (picha na Haji Nassor, Pemba)
UELEWA WA PAMOJA KWA USTAWI WA PAMOJA: WANAHABARI WANOLEWA KUHUSU DIRA 2050
-
Wanahabari wametakiwa kuwa daraja la kuifikisha kwa umma mikakati na
malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kuhakikisha kunakuwepo
uelewa wa pamoja...
1 hour ago
0 Comments