6/recent/ticker-posts

Maulidi ya Mtume SAW yaliyofanyika Bwawani






Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiadhimisha maulid ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW). Maulid hayo ya kila mwaka yaliyofanyika hoteli ya Bwawani, yamehudhuriwa na viongozi mbali mbali akiwemo Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, pamoja na Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Ibrahim Lipumba. (Picha na Salmin Said, OMKR)

Post a Comment

0 Comments