Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiadhimisha maulid ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW). Maulid hayo ya kila mwaka yaliyofanyika hoteli ya Bwawani, yamehudhuriwa na viongozi mbali mbali akiwemo Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, pamoja na Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Ibrahim Lipumba. (Picha na Salmin Said, OMKR)
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa...
21 minutes ago
0 Comments