6/recent/ticker-posts

Kocha wa Timu ya Yanga na Al Ahly Wakizungumza na Waandishi wa Habari Kuhusiani na Mchezo Wao Utakaofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar kesho 31-1-2026

Kocha Mkuu wa Timu ya Yanga Pedro Goncalves akizungumza na Waandishi wa habari za Michezo kuhusiana na maandalizi ya mchezo wao wa marudiano utakaofanyika kesho 31-1-2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, katika mchezo wa awali uliyofanyika Nchini Misri Timu ya Al Ahly imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.

Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakimsikiliza Kocha Mkuu wa Timu ya Yanga wakati wa mkutano wake kuelezea maandalizi ya mchezo wao wa marudiano ya Kombe la Mabingwa Afrika, mchezo utakaofanyika kesho 31-1-2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.

Mchezaji wa Timu ya Yanga Dickson Job akizungumza na waandishi wa habari za michezo  kuhusiana na maandalizi ya mchezo wao na Timu ya Al Ahly ya Misri utakaofanyika kesho 31-1-2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.

Kocha Mkuu wa Timu ya Al Ahly Jess Thorup Yanga Pedro Goncalves akizungumza na Waandishi wa habari za Michezo kuhusiana na maandalizi ya mchezo wao wa marudiano na Timu ya Yanga utakaofanyika kesho 31-1-2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, katika mchezo wa awali uliyofanyika Nchini Misri Timu ya Al Ahly imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.

Mchezaji wa Timu ya Al Ahly Mohamed El-Shenawy, akizungumza na waandishi wa habari za michezo  kuhusiana na maandalizi ya mchezo wao na Timu ya Yanga utakaofanyika kesho 31-1-2026 katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.

 

Post a Comment

0 Comments