Wananchi wa Kijiji cha Kibigija Jambiani wanaojishughulisha nas kilimo mcha wani
wakiwa katika eneo lao la kilimo hicho
katika bahari ya jambiani wakipasnda mwani kama walivyokutwa na mpiga picha
wetu wakawa katika harakati hiyo na kulalamikia bei ya mwani ikiwa haikidhi
kilo moja huuza kwa shilingi 400/=
Angellah Kairuki Apongeza Wazazi Ubungo kwa Ushindi wa 97%, Atoa Milioni 10
Kujenga Nyumba ya Katibu
-
Mbunge wa jimbo la Kibamba,Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki ameshiriki
Baraza la Wazazi Wilaya ya Ubungo kama Mgeni Rasmi, ambapo amewashukuru
wajumbe wa...
9 minutes ago
0 Comments