6/recent/ticker-posts

SIKU YA SHERIA KWA UPANDE WA PEMBA

MKUU wa Mkoa kusini Pemba Mhe: Mwanajuma Majid Abdalla, akisalimiana na  Jaji wa mahakama kuu  Zanzibar Mkusa Isaac Sepetu, kabla ya kuhutubia kwenye maadhimisho ya siku ya sheria Zanzibar, ambapo kwa Pemba, yalifanyika uwanja wa Tenis Chake Chake
Mkuu wa Mkoa  Kusini Pemba Mhe: Mwanajuma Majid Abdallla akizungumza na  wananchi  kisiwani  Pemba  kwenye m,aadhimisho ya siku ya sheria  Zanzibar  katika uwanja wa Tenisi uwanja wa Tenisi Chake Chake 
 MWAKILISHI kutoka ofisi ya Mkurugenzi wa Mashika Pemba All-baghiri Yakuti Juma, akisoma risala kwenye maadhisho ya siku ya sheria Zanzibar yaliofanyika uwanja wa Tenisi Chake Chake
 WAKILI wa kujitegea kisiwani Pemba, Zaharan Mohamed Yussuf, akisoma risala kwa niaba ya wanasheria wa kujitegemea  Pemba, kwenye uwanja wa Tenisi Chake Chake
BAADHI ya watendaji wa kituo cha huduma za sheria Zanzibar, waliohudhuria kwenye maadhisho ya siku ya sheria  Zanzibar, ambapo yalifanyika  uwanja wa Tenisi Chake Chake

BAADHI ya wafanyakazi wa Idara ya Mahaka kisiwani Pemba waliohuzuria kwenye maadhimisho ya siku ya sheria  Zanzibar, ambapo yalifanyika uwanja wa Tenisi  Chake Chake
 BAADHI ya wafanyakazi wa Idara ya Mahaka kisiwani Pemba waliohuzuria kwenye maadhimisho ya siku ya sheria  Zanzibar, ambapo yalifanyika uwanja wa Tenisi  Chake Chake,( Picha na Haji Nassor, Pemba).

Post a Comment

0 Comments