Mafundi wa Idara ya Utunzaji wa Barabara Zanzibar wakiwa kazini kuweka lami katika moja ya barabara za mji mkongwe za ndani katika barabara ya Mtendeni kutokea muembetanga ikiwa katika uimarishaji wake kwa kuiwekea lami baada ya muda mrefu barabara hiyo ilikuwa na mashimo na lami yake kuharibika na kufanyiwa ukarabati mkubwa wa kuweka lami mpya.
Air Tanzania Yatua Victoria Falls kwa Mara ya Kwanza, Yaongeza Safari
Zimbabwe
-
NDEGE ya Shirika la Ndege Tanzania (Air Tanzania) imefanya first touch down
katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Victoria Falls, Zimbabwe, leo mchana
t...
7 hours ago
0 Comments