Wabunge kutoka Tanzania walipotembelea afisi ya ubalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa iliyopo New York, Marekani wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa ubalozi, Balozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa Mhe. Balozi Tuvako Manongi na Kiongozi wa Msafara wa Wabunge wa Kamati ya Mambo ya Nje Mhe. Injinia Hamad Masauni (katikati)
DKT NATU: TANZANIA NA UNICEF KUENDELEZA USHIRIKIANO
-
*Na. Joseph Mahumi, WF, Dodoma*
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, amekutana na
kufanya mazungumzo na Naibu Mwakilishi wa Shiri...
2 hours ago
0 Comments