Barua yake ya kung’atuka ubunge kupitia chama cha CHADEMA
Mhe.Zitto Kabwe akiongea na waandishi wa Habari usiku wa kuamkia leo mara baada ya Kuwaaga Wabunge Baada ya kuwasomea barua aliyomwandikia Mhe.Spika ya Kung’atuka Ubunge baada ya kuvuliwa Uanachama na chama chake cha CHADEMA( Chanzo kwa Hisani ya Fullshangwe)
UNDP, Serikali ya Uingereza Yawakutanisha Viongozi wa Vyuo Vikuu Kuchochea
Ubunifu na Ujasiriamali Zanzibar
-
Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP Tanzania), kwa ushirikiano
na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na Chuo cha Indian Institute of
Te...
1 hour ago



0 Comments