Sijui CCM-Z'bar, inaelekea wapi kln. nijuavyo kuna njia nyingi za kumdhibiti mzee MOYO ili asiendelee kufanya upuuzi anaoufanya.
Sidhani kama kumfukuza chama pekee kunaweza kukidhi haja, hii inaweza kuvuruga zaidi hali ya mambo na kuwafanya WAPINZANI waonekane kua kumbe sio chama 'jamii' fulani bali kama ilivyo CCM tu.
Sura ya kimapinduzi itaonekana ktk vyama vyote viwili na hatimae vijana washindwe kuona tofauti, na kufungua njia ya mwana CCM yeyote yule ambae mambo hayatomwendea vizuri ndani ya chama hata kama kihalali aone heri kuhamia upinzania kwa vile 'mwiko' umeshavunjwa!
JAS yafanya kikao cha kufunga Mwaka 2025
-
Jumuiya ya Wanafunzi ya Jiba Active Students (JAS) imefanya kikao maalum
cha kufunga shughuli za Mwaka 2025, kikao kilicholenga kufanya tathmini ya
uteke...
Michezo : Mwakinyo Amchapa Mnigeria kwa KO
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
BONDIA wa Kimataifa Mtanzania, Hassan Mwakinyo amefanikiwa kuibuka mshindi
wa pambano lake dhidi ya mpinzani wake Mniger...
1 Comments
Sijui CCM-Z'bar, inaelekea wapi kln. nijuavyo kuna njia nyingi za kumdhibiti mzee MOYO ili asiendelee kufanya upuuzi anaoufanya.
ReplyDeleteSidhani kama kumfukuza chama pekee kunaweza kukidhi haja, hii inaweza kuvuruga zaidi hali ya mambo na kuwafanya WAPINZANI waonekane kua kumbe sio chama 'jamii' fulani bali kama ilivyo CCM tu.
Sura ya kimapinduzi itaonekana ktk vyama vyote viwili na hatimae vijana washindwe kuona tofauti, na kufungua njia ya mwana CCM yeyote yule ambae mambo hayatomwendea vizuri ndani ya chama hata kama kihalali aone heri kuhamia upinzania kwa vile 'mwiko' umeshavunjwa!