ALAF YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA UZINDUZI WA PROGRAMU YA UONGOZI NA
KUISAIDIA JAMII
-
KAMPUNI ya ALAF, imezindua Kundi la tano la Mpango wa Wanawake katika
Uongozi kama sehemu ya maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake, ambayo
huadhimis...
1 hour ago
1 Comments
Sijui CCM-Z'bar, inaelekea wapi kln. nijuavyo kuna njia nyingi za kumdhibiti mzee MOYO ili asiendelee kufanya upuuzi anaoufanya.
ReplyDeleteSidhani kama kumfukuza chama pekee kunaweza kukidhi haja, hii inaweza kuvuruga zaidi hali ya mambo na kuwafanya WAPINZANI waonekane kua kumbe sio chama 'jamii' fulani bali kama ilivyo CCM tu.
Sura ya kimapinduzi itaonekana ktk vyama vyote viwili na hatimae vijana washindwe kuona tofauti, na kufungua njia ya mwana CCM yeyote yule ambae mambo hayatomwendea vizuri ndani ya chama hata kama kihalali aone heri kuhamia upinzania kwa vile 'mwiko' umeshavunjwa!