Mwanamitindo wa Zanzibar Bi Matilda Ishungisa mwenye gauni la njano akiwa na wanamitindo wake walioonesha mitindo ya Nguo alizobuni wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake yaliofanyika katika ukumbi wa Salama Bwawani Zenj.
Mwanamitindo wa Zanzibar Bi Matilda Ishungusa akiwa na pozi akipita mbele ya Wanawake walioshiriki Siku ya Mwanamke yaliofanyika katika ukumbi wa Salama Bwawani Zanzibar.
DK.MIGIRO ATOA MWITO KWA WABUNGE,MAWAZIRI KUSHIRIKI VIKAO VINAVYOITISHWA NA
MABALOZI WA MASHINA ,MATAWI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk.Asha-Rose Migiro ametoa mwito
kwa viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo Wabunge n...
10 hours ago
0 Comments