KUMEKUWA na tabia kwa baadhi ya wafanya biashara kisiwani Pemba, kutupatupa baadhi ya bidhaa zilizopitiwa na wakati katika majaa yasiliyokuwa rasmi, pichani mifuko ya biskuti zilizoishiwa na muda zikiwa zimetupwa nyuma ya Wizara ya Habari Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
WAHITIMU TaSUBa WAHIMIZWA KUILINDA AMANI YA TANZANIA
-
Na MWANDISHI WETU, Bagamoyo
WAHITIMU wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), wamehimizwa
kuilinda amani nchini.
Akizungumza katika Mahafali ya...
3 hours ago

0 Comments