Wakati wewe unaeperuzi kirahisi kwenye mtandao ukiwa kwenye Kompyuta, Simu ya kisasa, Tablet au Ipad kupata habari wengine huwabidi wazifuate habari kwenye vituo vya kuuza magazeti kwa ajili ya kujua kinachoendelea katika ulimwengu wetu huu wa leo.
MBUNGE MNZAVA AWAKABIDHI WAZEE 300 BIMA ZA AFYA KUPITIA MAKUYUNI FESTIVAL
-
*MBUNGE wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timotheo Mnzava, ameendelea
kutekeleza mikakati ya kuboresha huduma za afya kwa wazee kwa kugawa Bima
za Af...
1 hour ago
0 Comments