IPO miundombinu kadhaa ambayo ilikua ikitumiwa na sasa kutelekezwa, ikiwa ni pamoja na gati iliopo Chakechake ambayo ilikuwa ikitumiwa kwa ajili ya kushushia mizigo ya vyombo vikubwa ikiwa ni pamoja na majahazi, ambapo sasa imesahauliwa (picha na Haji Nassor, Pemba)
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa...
8 hours ago
0 Comments