TAASISI mbali mbali zinapaswa kuwa makini nchini,
zinaposafirisha vifaa vyao barabarani ili visije vikasababisha madhara kwa
wengine, pichani gari la Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Pemba likiwa
limepakia pipa za lami bila ya kuzifunga, jambo ambalo linaweza kuwa hatari kwa
wengine.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
KAMATI YA BUNGE YAITAKA SERIKALI KUIMARISHA USALAMA NA AFYAKATIKA SEKTA
ISIYO RASMI NCHINI
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Hawa
Chakoma, akifuatilia taarifa kuhusu muundo na majukumu ya Taasisi za OSHA
na WCF ...
30 minutes ago

0 Comments