LICHA ya Mvua kutokunyesha kwa kipindi kirefu
Kisiwani Pemba, lakini sio sababu ya Baraza la Mji Chake Chake kushindwa
kuzizoa takataka zilizoko katika Dampo la Machomanne, pichani takataka hizo
zikiwa zimetawanyika kwa kushindwa kuzoelewa zikiwa na zaidi ya mwezi mmoja
sasa.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAJA ATOA SADAKA KWA MISIKITI 65 GEITA MJINI
-
Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini, Chacha Wambura, ametoa tende kwa misikiti
65 iliyopo katika jimbo lake ikiwa ni sadaka kwa waumini wa dini ya
Kiislamu wana...
14 minutes ago

0 Comments