LICHA ya Mvua kutokunyesha kwa kipindi kirefu
Kisiwani Pemba, lakini sio sababu ya Baraza la Mji Chake Chake kushindwa
kuzizoa takataka zilizoko katika Dampo la Machomanne, pichani takataka hizo
zikiwa zimetawanyika kwa kushindwa kuzoelewa zikiwa na zaidi ya mwezi mmoja
sasa.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MEYA DKT. NICAS: TUMETENGA MIL. 900 UJENZI WA MADARASA, MIL. 400 KWA AJILI
YA MADAWATI KIBAHA
-
Na Khadija Kalili, Kibaha
MEYA wa Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, amesema kuwa uongozi wake
pamoja na Mkurugenzi wa Manispaa ya Kibaha wametenga ...
9 hours ago

0 Comments