Mambo ya kachu katika ufukwe wa bahari ya forodhani Zanzibar vijana wengi hutumia ufukwe huo kwa kuogelea tangu enzi hizo eneo hilo taimu ya jioni hujaa vijana kwa watoto kwa kuogelea wakati maji yakijaa. Kama anavyoonekana kijana huyu akiruka maji kwa staili ya kachu.
TANESCO RUVUMA YAHIMIZA WANANCHI KULINDA NA KUTUNZA MIUNDOMBINU YA UMEME
-
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) mkoani Ruvuma limewahimiza wananchi na
watumiaji wa umeme kuhakikisha wanalinda na kutunza miundombinu ya umeme
iliyo...
6 minutes ago
0 Comments