Wananchi wakiwa katika eneo la barabara ya kwenda Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba wakiliagalia gari lenye namba za usajili Z990 GX, iliopata ajali katika eneo hilo wakati ikielekea Uwanja wa Ndege na kupata ajali hiyo kwa kupinduka na abiria wa ajali hiyo wamejeruhiwa na kupata matibabu katika hospitali ya Chakechake, hakuna mtu aleyefariki katika ajali hiyo.Picha na Omar Mohammed,Pemba)
BALOZI LUVANDA APONGEZA MIKAKATI YA NEMC UTEKELEZAJI DIRA 2050
-
Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Balozi Baraka
Luvanda (kushoto) akipokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la
Hifadhi n...
1 hour ago


0 Comments