Upakizi wa mizigo kupita kiasi na uwezo wa gari husika huwa kero pale gari hiyo inapoharibika katikati ya barabara na husababisha msongamano wa magari katike eneo husika. kama inavyoonekana pichani gari hizi zikiwa na mzingo na gari yenye mkaa ikiwa imeharibika na kusimama katikati ya barabara ya muembeladu.
DKT. MWIGULU AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA KAMPASI YA LINDI YA UDSM
-
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa
Kampasi ya Lindi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika eneo la Ngongo
mkoani Lindi na...
56 minutes ago
0 Comments