6/recent/ticker-posts

Kilimo cha Tungule Mkombozi wa Wakulima Kisiwani Pemba

WANANCHI mbali mbali Kisiwani Pemba, wameamua kujiajiri wenyewe katika vilimo mbali mbali, ili kujikomboa na umasikini, pichani wakulima wa tungule Pujini wakivuna zao hilo ambapo ndoo moja huuzwa 15000/= hadi 13000/=
.Picha na Abdi Suleiman - Pemba.


Post a Comment

0 Comments