Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said akiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa Skuli ya Msingi Bungi wakati wa hafla ya kukabidhi matofali na vifaa vya ujenzi kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya skuli hiyo hafla hiyo imefanyika katika viwanja skuli hiyo, wakifurahia na Mwakilishi wao.amekabidhi vifaa vya shilingi milioni Sita.kwa ajili ya kukamilisha jengo la skuli.
DKT. MUYUNGI ATETA NA UJUMBE KUTOKA UBALOZI WA UINGEREZA ULIOPO TANZANIA
-
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi (kulia)
akizungumza jambo wakati wa kikao chake na wawakilishi wa Ubalozi wa
Uingereza nchini Ta...
50 minutes ago
0 Comments