Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Dodoma Neema Majule, kulia akimtambulisha Mwenyekiti wa UWT Taifa Mhe. Gaudencia Kabaka,baada ya kuwasili katika viwanja vya Makao Makuu CCM White House Dodoma wakati wa mapokezi yake yalioandaliwa ma UWT Mkoa wa Dodoma na kutambulishwa kwa Wanachama wa Jumuiya hiyo baada ya kuchaguliwa katika Mkutano Mkuu wa Tisa wa UWT uliofanyika Mkoani huo wiki hii.
Mhe. Mchengerwa afungua kikao cha Mawaziri wa Afrika wa Afya kuhusu kampeni
ya kupunguza vifo vya mama na mtoto (CARMMA) kwa niaba ya Rais Samia
-
Azitaka nchi za Afrika kuunganisha nguvu
Wajumbe wamsifu Rais Samia kwa kuwa kinara
Na John Mapepele- Addis Abbaba.
Waziri wa afya, Mhe. Mohamed Mc...
57 minutes ago
0 Comments