MBUNGE
wa Jimbo la Mufindi Kaskazini Mahmoud Mgimwa ametoa msaada wa vifaa
mbalimbali vya ujenzi vyenye thamani ya zaidi ya Sh Milioni 12
vitakavyotumika kuboresha miundombinu ya sekta ya elimu na afya jimboni
humo
CAMARTEC YABUNI TEKNOLOJIA MPYA KUINUA SEKTA YA KILIMO NA UFUGAJI
-
Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini (CAMARTEC) kimeanzisha
mbinu mpya za mafunzo kwa wakulima kuhusu usindikaji wa mazao, ikiwemo
mwani korosho...
3 hours ago
0 Comments