Huu ni Mdahalo wa Sehemu ya kwanza kati ya mbili zijazo, wa kugombania kinyang'anyiro cha uchaguzi wa Urais kupitia Jumuiya ya Watanzania waishio DMV, ulioandaliwa na Tume ya Uchaguzi, Siku ya Jumamosi March 3, 2018 katika ukumbi wa Indiana Springs Terrance Local Park Sliver Spring Maryland Nchini Marekani.
MBUNGE KOOLA ASHIRIKI MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR’AN - HIMO
-
VUNJO.
MBUNGE wa Jimbo la Vunjo, Enock Koola amewapongeza walimu wa madrasa kwa
juhudi zao za malezi ya kiroho na maadili kwa watoto na vijana kupitia
...
2 hours ago
0 Comments