Mwenyekiti wa Taasisi ya Samael Academy and College, akizungumza na Waandishi wa habari juu ya kuanzishwa kwa taasisi hiyo na kuanzishwa chuo kitakachotowa mafunzo ya ufundi ambayo yanalengo la kuwafanya Vijana waweze kujiajiri wenyewe na kupambana na Umaskini.
UNDP, Serikali ya Uingereza Yawakutanisha Viongozi wa Vyuo Vikuu Kuchochea
Ubunifu na Ujasiriamali Zanzibar
-
Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP Tanzania), kwa ushirikiano
na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na Chuo cha Indian Institute of
Te...
45 minutes ago

0 Comments