Mratibu wa Miradi TAMWA Zanzibar Bi. Haura Shamke akifungua Majadiliano hayo ya kuzungumzia hali ya Udhalilishaji wa Wanawake na Watoto Zanzibar yalivyofikia, Mkutano huo umeandaliwa na Tamwa Zanzibar kupitia Mradi wake wa Udhalilishaji wa Wanawake na Watoto Zanzibar.Mkutano huo umewashirikisha Wanaharakati kutoka Mikoa ya Unguja Walimu wa Madrasa, Masheikh, Waandishi wa Habari na Wanaharakati Wanawake Zanzibar uliofanyika katika ukumbi wa Mtamwa Tunguu Zanzibar
TANZANIA KUWA KITOVU CHA UZALISHAJI DAWA BARANI AFRIKA
-
Na WAF – Dar es Salaam.
Serikali imejiwekea malengo makuu ya kitaifa katika kukuza ujenzi wa
viwanda vya dawa na kuifanya Tanzania kuwa kinara wa uzalish...
41 minutes ago
0 Comments