Waziri wa Ardhi Maji Nishati na Maakazi Zanzibar Mhe. Salama Aboud Talib akisoma Hutuba ya Bajeti ya Wizara yake kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Chukwani leo kwa ajili ya kuichangia na kuipitisha kwa matumizi ya Wizara yake kwa Mwaka Mpya wa Fedha 2018/2019.
NINA IMANI KUBWA NA UTENDAJI KAZI WA OFISI YA MWANDISHI MKUU WA
SHERIA-MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
-
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S. Johari amewataka Watumishi wa
Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria kufanya kazi kwa Weledi na Ufanisi ili
kufiki...
9 hours ago
0 Comments