Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zuberi Ali Maulid akizungumza na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania UWT Mama. Gaudencia Kabaka alipofika Katika Majengo ya Baraza la Wawakilishi na Ujumbe wake Kujitambulisha Kwa Spika leo Chukwani Zanzibar.
NGORONGORO YATANGAZA VIVUTIO VYA UTALII KWA WASHIRIKI WA ROMBO MARATHON.
-
Na Mwandishi Wetu, Rombo.
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imeshiriki katika tamasha la _Rombo
_Marathon_ lililofanyika leo tarehe 23 Desemba 202...
1 hour ago



0 Comments