Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zuberi Ali Maulid akizungumza na Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania UWT Mama. Gaudencia Kabaka alipofika Katika Majengo ya Baraza la Wawakilishi na Ujumbe wake Kujitambulisha Kwa Spika leo Chukwani Zanzibar.
Angellah Kairuki Apongeza Wazazi Ubungo kwa Ushindi wa 97%, Atoa Milioni 10
Kujenga Nyumba ya Katibu
-
Mbunge wa jimbo la Kibamba,Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki ameshiriki
Baraza la Wazazi Wilaya ya Ubungo kama Mgeni Rasmi, ambapo amewashukuru
wajumbe wa...
8 minutes ago



0 Comments