Wafanyabiashara wa Utalii Zanzibar wakiwa katika maandalizi ya msimu huo kwa kuzifanyia ukarabati boti zinazotoa huduma ya usafiri katika Visiwa vya Historia ya Zanzibar, kama walivyokutwa wakiwa katika zoezi hilo la kuzifanyia ukarabati wa kupata rangi na kuzikalafati katika ufukwe wa pwani ya forodhani Zanzibar.
TAHA Kuandaa Maonesho ya Kimataifa ya Hortilogistica Africa 2026 jijini
Arusha
-
Na Mwandishi Wetu, Dodoma.
TAASISI kilele ya sekta binafsi inayoshughulika na tasnia ya horticulture
nchini TAHA, imewasilisha rasmi mpango wa kuandaa mao...
8 minutes ago
0 Comments