Taratibu za Ujenzi na Ukarabati Mkubwa wa jengo la Beit AlJaib Zanzibar ukianza ukarabati wake kwa hatua za mwazo kwa ufungaji wa majukwaa kuzuiya nguzo za jengo hilo na kuzingira nyavu maalum ili kuzuiya kwa wajenzi na wapita njia kupata madhara wakati wa ujenzi huo kama inavyoonekana pichani.
DC MSANDO AAGIZA KUFUFULIWA VISIMA VINNE MBURAHATI, HUDUMA YA MAJI KUREJEA
-
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo (DC), Mheshimiwa Abert Msando ametembelea na
kukagua hali ya huduma ya upatikanaji maji kata ya Mburahati wilayani humo
huku akito...
6 hours ago
0 Comments