Taratibu za Ujenzi na Ukarabati Mkubwa wa jengo la Beit AlJaib Zanzibar ukianza ukarabati wake kwa hatua za mwazo kwa ufungaji wa majukwaa kuzuiya nguzo za jengo hilo na kuzingira nyavu maalum ili kuzuiya kwa wajenzi na wapita njia kupata madhara wakati wa ujenzi huo kama inavyoonekana pichani.
TAHA Kuandaa Maonesho ya Kimataifa ya Hortilogistica Africa 2026 jijini
Arusha
-
Na Mwandishi Wetu, Dodoma.
TAASISI kilele ya sekta binafsi inayoshughulika na tasnia ya horticulture
nchini TAHA, imewasilisha rasmi mpango wa kuandaa mao...
1 hour ago
0 Comments