Mchezaji wa Timu ya Haile Sellasie Juma Abubakari akimpita mchezaji wa Timu ya Nyuki Yussuf Juma wakati wa Mchezo wa Fainali ya Tamasha la Elimu Bila Malipo Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja uliofanyika katika Viwanja vya Maisara Zanzibar Timu ya Haeli imeshinda mchezo huo kwa Vikapu 37 - 23. na kutangazwa Bingwa wa Skuli za Sekondari Mchezo wa Basket Ball Mkoa wa Mjini na kuwakilisha Mkoa wa Mjini Magharibi katika Michuano ya Taifa ya Tamasha la Elimu Bila Malipo kwa Mikoa Mitano ya Zanzibar.
KAMPENI YA "SOMA NA MKARAFUU" YATOA FURSA YA KUJITEGEMEA KIUCHUMI MOROGORO
-
NA FARIDA MANGUBE, MOROGORO
Kampeni ya "Soma na Mkarafuu," inayotekelezwa na Serikali ya Mkoa wa
Morogoro, inatoa fursa mpya ya kiuchumi kwa wanafunzi ...
51 minutes ago
0 Comments