Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Mohammed Aboud Mohammed akiwa na Viongozi wa Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, kushoto Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania Bara Mhe Mhe. Japhet Hasunga na kulia Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Bi. Khadija Bakari na Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Mahmoud Thabit Kombo wakielekea katika mabanda ya maonesho ya Vyakula na Vitu vya Urithi wakati wa Uzinduzi wa Tamasha hilo katika viwanja vya maisara leo.
YANGA SC MABINGWA MAPINDUZI CUP 2026
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Klabu ya Yanga SC imefanikiwa kubeba Kombe la Mapinduzi baada ya kuifunga
Azam FC kwa mikwaju ya penati katika mchezo wa fa...
1 minute ago
0 Comments