Mchezaji wa Timu ya Zimamoto na KVZ wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Netiboli Kanda ya Unguja Mchezo uliofanyika Uwanja wa Gymkhana uliokuwa na ushindani mkubwa kwa pande zote pili kuoneshani uwezo. Timu ya Zimamoto imeshinda kwa tabu kwa mabao 41-40.
EWURA KANDA YA KASKAZINI YAWANOA VIONGOZI WA WILAYA YA KOROGWE
-
*Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kupitia Kanda ya
Kaskazini, leo tarehe 5 Machi 2026 imetoa elimu kwa viongozi wa Wilaya ya
Kor...
26 minutes ago
0 Comments