Timu shiriki Michuano ya Ligi Kuu ya Mchezo wa Netiboli Kanda ya Unguja wakipita mbele ya Mgeni Rasmin Mjumbe wa Kamati ya Olimpiki Tanzania na Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Bi. Tabia Maulid, uzinduzi huo umefanyika katika viwanja vya Gymkhana Zanzibar.
TPSC YAWAUNGANISHA WATAALAMU KUJADILI MATUMIZI YA AKILI MNEMBA KATIKA SEKTA
YA UMMA
-
Na Mwandishi Wetu — Dar es Salaam, 12 Februari 2026
Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kimeongoza mdahalo wa kitaalamu
uliolenga kujadili matumizi...
5 hours ago
0 Comments