Timu shiriki Michuano ya Ligi Kuu ya Mchezo wa Netiboli Kanda ya Unguja wakipita mbele ya Mgeni Rasmin Mjumbe wa Kamati ya Olimpiki Tanzania na Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Bi. Tabia Maulid, uzinduzi huo umefanyika katika viwanja vya Gymkhana Zanzibar.
TAARIFA UZINDUZI WA SERA YA TAIFA YA USIMAMIZI WA MNYORORO WA UGAVI YA
MWAKA 2025
-
Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya Fedha
inawataarifu...
7 hours ago
0 Comments