Mradi wa Ujenzi wa Mitaro ya Maji Machafu katika maeneo ambayo hujaa maji wakati wa kipindi cha Mvua za Masika katika maeneo ya Zanzibar.Tayari tatizo hilo limemepatikana ufumbuzi wake kwa kuendelea na ujenzi huo wa Mitaro hiyo unaofanywa kupita Wajenzi wa Kampuni ya Kichina ya CRJE wakitekeleza ujenzi huo katika moja ya eneo hilo katika sehemu ya sebleni ambalo hujaa maji na kuwalazimu Wananchi kuhama makazi yao.
TPSC Yawajengea Vijana Misingi ya Maadili na Uzalendo Kuelekea Maadhimisho
ya Miaka 25
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Kuelekea maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania
(TPSC), Mkurugenzi wa chuo hicho Kampasi ya Dar e...
14 minutes ago
0 Comments