NAIBU
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ), Bi.Khadija Shamte
(watatu kushoto) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Bi.Halima
Maulid Salum msaada wa mashine ya kuangalia vichochozi vya mwili (hormone) kwa watoto,
makabidhiano hayo yalifanyika katika Hospitali Kuu ya Mnazi mmoja mjini Unguja.
Msajili wa Hazina aikaribisha Jeune Afrique Media Group kuangazia fursa za
uwekezaji
-
Dar es Salaam. Leo, Februari 9, 2026, Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah
Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na Bw.Frederic Van de vyver Mkuu
wa Jeune Af...
1 hour ago
0 Comments