Mchezaji wa Timu ya Osolo akiwa na mpira akimpita mchezaji wa Timu ya Nyuki wakati wa mchezo wao wa Michuano ya Karume Cup inayofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Nyuki imeshinda mchezo huo.
BODI YA MAJI BONDE LA RUFIJI YABORESHA UPATIKANAJI WA MAJI SHULE YA MSINGI
JAMHURI ILONGO, MBARALI
-
Bodi ya Maji Bonde la Rufiji kupitia Mradi wa Kuimarisha Mbinu za Asili za
Kijamii za Usimamizi wa Vyanzo vya Maji na Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi
(NBS...
1 hour ago
0 Comments