Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha Mapinduzi Mhe.dk HusseinMwinyi akiwapungia mkoni na kuwasalimia Wajumbe wa Kongamano Maalum lililoandaliwa na Umoja wa Wake wa Viongozi kwa kushirikiana na UWT Zanzibar lililofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Kichama Amani Jijini Zanzibar.
GoldBod Yabadili Sekta ya Dhahabu Ghana, Tanzania Yapata Mafunzo Muhimu ya
Mageuzi katika Sekta ya Madini Afrika
-
Accra, Ghana
Tume ya Madini Tanzania imefanya ziara ya kikazi kwa Bodi ya Dhahabu ya
Ghana (Ghana Gold Board – GoldBod) jijini Accra, ikiwa na lengo la
...
32 minutes ago
0 Comments