Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mratibu wa Mradi wa ZUSP Ndg Makame Ali Makame na Mkurugenzi wa Baraza la Manispa Mjini Ndg Said Juma Hamad alipotembelea Mradi wa Kituo cha ukusanyaji wa taka kutoka Mjini kilichojengwa katika eneo la Muembemakumbi ikiwa ni Mradi wa ZUSP wakati wa ziara yake ilifanyika leo 9/12/2020.kutembelea Miradi ya ZUSP Zanzibar.
TPSC Yawajengea Vijana Misingi ya Maadili na Uzalendo Kuelekea Maadhimisho
ya Miaka 25
-
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Kuelekea maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania
(TPSC), Mkurugenzi wa chuo hicho Kampasi ya Dar e...
16 minutes ago
0 Comments