Mkurugenzi wa Masoko wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania Ndg.Yessaya Mwakifulefule akimkabidhi zawadi Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Mchezaji wa Timu ya Simba Francis Kahata baada ya kuibuka mchezaji bora wa mchezo huo uliofanyika jana usiku. katika uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.
Mkurugenzi wa Masoko wa Shirika la Bima la Taifa Tanzania Ndg.Yessaya Mwakifulefule akimpongeza Mchezaji wa Timu ya Simba Francis Kahata baada ya kumkabidhi zawadi yake ya fedha taslim zilizotolewa na Shirika la Bima la Taifa Tanzania kwa Mchezaji atakayechaguliwa na Jopo la Makocha kuwa Mchezaji Bora wa Mchezo wa Kombe la Mapinduzi Cup Zanzibar.
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
3 hours ago
0 Comments