Mwakilishi wa Viti Maalum kupitia nafasi za watu wenye ulemavu mhe Mwantatu Mbarak Khamis akimkabidhi fedha taslim shilingi milioni mbili katibu wa Jumuiya ya wanawake wenye ulemavu Zanzibar [JUWAUZA] Mwandawa Khamis Mohammed kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli za jumuiya hiyo
GGML Kili Challenge Yashiriki Maonesho ya Kilimanjaro Marathon 2026
-
Moshi, Tanzania
GGML Kili Challenge inayotekelezwa kupitia GGML Kili Trust, inashiriki
Kilimanjaro Marathon 2026, maarufu kama “Mbio za Watu”, kupitia ma...
4 hours ago
0 Comments