Mkurugenzi Tehama Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Omar S. Ali akiangalia baadhi ya kazi za ubunifu wa tehama zilizofanywa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA katika maonyoesho ya kwanza ya siku ya UBUNIFU WA TEHAMA yaliyofanyika Ukumbi wa Skuli ya Utalii Maruhubi Zanzibar.
Mkurugenzi Tehama Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Omar S. Ali akiangalia baadhi ya kazi za ubunifu wa tehama zilizofanywa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA katika maonyoesho ya kwanza ya siku ya UBUNIFU WA TEHAMA yaliyofanyika Ukumbi wa Skuli ya Utalii Maruhubi Zanzibar.
Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa SUZA Prof. Mohammed Makame Haji akizungumza na kumkaribisha mgeni rasmi kuhutubia katika maonyesho ya kwanza ya kazi za ubunifu wa tehama huko Ukumbi wa Skuli ya Utalii Maruhubi Zanzibar.
NAIBU WAZIRI WA NISHATI APONGEZA TPDC KWA JITIHADA ZA UENDELEZAJI WA
NISHATI YA MAFUTA NA GESI ASILIA
-
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, amekutana na Uongozi wa
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na kuwapongeza kwa jitihada
wanazoend...
9 minutes ago
0 Comments