Makamu wa Kwanza wa Rais, Alhaj Othman Masoud ameungana na waumini wa dini ya kiislamu katika sala ya maiti kumsalia mwanasiasa mkongwe Zanzibar, Marehemu Ali Sultan Issa ambae aliwahi kuwa Waziri pamoja na kushika nyadhifa tofauti katika serikali ya Mapinduzi Zanzibar
EWURA KANDA YA KASKAZINI YAWANOA VIONGOZI WA WILAYA YA KOROGWE
-
*Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kupitia Kanda ya
Kaskazini, leo tarehe 5 Machi 2026 imetoa elimu kwa viongozi wa Wilaya ya
Kor...
1 hour ago
0 Comments