Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Wazee wa Zanzibar waliofika katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Karume kabla ya kuondoka na kuelekea nchini Ufaransa leo 09 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango pamoja na Rais wa Zanzibar Mhe. Husein Ali Mwinyi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Karume Zanzibar kabla ya kuondoka kuelekea Nchini Ufaransa leo tarehe 09 Februari, 2022.
Hii Sio Bahati Tu Ni Mchongo” Sambo wa Kigoma Ashika Boda Mpya, Asema
Inaenda Kusukuma Maisha
-
Na Mwandishi Wetu
Dar es Salaam Kuna ushindi wa kupiga picha na kuonyesha watu. Halafu kuna
ushindi wa aina nyingine. Ule unaokupa mwendo mpya kwenye ...
1 minute ago
0 Comments