Hivi karibuni Bodi ya Dawa na Chakula Zanzibar (ZFDA) Imefanikiwa kuteketeza jumla ya tani 30 za tende ilioharibika kutokana na uhifadhi mbaya na kupelekea kutokua salama Kwa matumizi ya binaadam, pichani ni Tikatika likiteketeza tende hiyo katika jaa la Kibele Wilaya ya Kati Mkoa wa kusini Unguja.
BODI YA MAJI BONDE LA RUFIJI YABORESHA UPATIKANAJI WA MAJI SHULE YA MSINGI
JAMHURI ILONGO, MBARALI
-
Bodi ya Maji Bonde la Rufiji kupitia Mradi wa Kuimarisha Mbinu za Asili za
Kijamii za Usimamizi wa Vyanzo vya Maji na Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi
(NBS...
27 minutes ago
0 Comments